forked from WA-Catalog/sw_tn
579 B
579 B
Taarifa ya jumla
Sura iliyosalia inaorodhesha mtiririko wa vizazi vya Shemu mpaka vya Abramu.
Hivi ndivyo vilikuwa vizazi vya Shemu
Sentensi hii inaanza orodha ya vizazi vya Shemu.
gharika
Hii ilikuwa gharika kutoka kipindi cha Nuhu ambapo watu walikuwa waovu sana mpaka Mungu akatuma gharika nchi yote kufunika nchi.
akawa baba wa Alfaksadi
"akapata mwana wake wa kiume Alfaksadi" au "mwana wake wa kiume Alfaksadi alizaliwa"
Alfaksadi
jina la mwanamume
mia moja ... miwili ... mia tano
Watafsiri wanaweza kuandika maneno au namba "100", "2", and "500".