sw_tn/gen/07/15.md

583 B

Taarifa ya Jumla:

Mistari ya 13-18 inarudia kwa mara ya tatu na kutoa ufafanuzi zaidi jinsi gani Nuhu aliingia katika safina pamoja na familia yake na wanyama. Hili sio tukio.

Viwili viwili katika kila chenye mwili

Hapa "mwili" inawakilisha wanyama.

ambacho kilikuwa na pumzi ya uhai

Hapa "pumzi" inawakilisha uhai. "alivyoishi"

kilikuja kwa Nuhu

Neno "kilikuja" linaweza kutafsiriwa kama "alikwenda".

wote wenye mwili

Hapa "mwili" inawakilisha wanyama. "katika kila aina ya mnyama"

akawafungia

Maana kamili yaweza kutajwa wazi. "walipoingia ndani ya safina"