forked from WA-Catalog/sw_tn
330 B
330 B
akawa baba wa Enoshi
Hapa "baba" inamaana ya baba mzazi, na sio babu. "akamzaa mwana wake wa kiume Enoshi"
Enoshi
Hili ni jina la mtu
naye akawa baba wa wana wengi waume na wake
"na akawa na wana zaidi wa kiume na kike"
Sethi akaishi miaka 912
"Sethi aliishi jumla ya miaka 912"
kisha akafariki
"Kisha akafa"