forked from WA-Catalog/sw_tn
41 lines
965 B
Markdown
41 lines
965 B
Markdown
# Mungu akafanya mianga mikuu miwili
|
|
|
|
"Kwa njia hii Mungu akafanya mianga miwili mikuu" Sentensi hii inaelezea Mungu alichofanya alipozungumza.
|
|
|
|
# mianga miwili mikuu
|
|
|
|
"mianga miwili mikuu" au "mianga miwili ing'aaro". Mianga miwili mikuu ni jua na mwezi.
|
|
|
|
# kutawala mchana
|
|
|
|
"kuongoza mchana kama mtawala angozapo kundi la watu" au "kuweka alama katika siku"
|
|
|
|
# siku
|
|
|
|
Hii inamaanisha masaa ya mchana pekee
|
|
|
|
# mwanga mdogo
|
|
|
|
"mwanga mdogo" au "mwanga hafifu"
|
|
|
|
# katika anga
|
|
|
|
"katika mbingu" au "katika uwazi wa angani"
|
|
|
|
# kutenganisha mwanga na giza
|
|
|
|
"kutenganisha mwanga na giza" au "kutoa mwanga kwa kipindi kimoja na giza kwa kingine.
|
|
|
|
# Mungu akaona kuwa ni vyema
|
|
|
|
Hapa "ni" inamaanisha jua, mwezi na nyota.
|
|
|
|
# jioni na asubuhi
|
|
|
|
Hii inamaanisha siku nzima. Mwandishi anazungumzia siku nzima kana kwamba ni sehemu mbili. Kwa tamaduni za Kiyahudi, siku moja huanza baada ya jua kuzama.
|
|
|
|
# siku ya nne
|
|
|
|
Hii inamaanisha siku ya nne ambapo ulimwengu ulianza kuwepo.
|
|
|