forked from WA-Catalog/sw_tn
495 B
495 B
maelezo ya kuhusisha
Hii inaendelea na agizo ambalo mfalme Artashasta alimpa Ezra
Basi ununue vyote...sadaka
msemo"vyote" inamaanisha vingi na vya muhimu kumalizia kazi. Walipaswa kutumia dhahabu na fedha kununua vyote vinavyohitajika ili kumwabudu mungu katiak hekalu. AT:"Nunua vingi kondoo, beberu,unga na sadaka ya vinywaji kama inavyohitajika"
wewena ndugu zako
Msemo "ndugu zako" inamaanisha watu ambao walifanya kazi pamoja na Ezra. AT:"watumishi wenzako" au "washirika wako"