forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
405 B
Markdown
21 lines
405 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla:
|
|
|
|
Yahwe anaendelea kunena na Ezekili
|
|
|
|
# Mwanadamu
|
|
|
|
Tazama tafsiri yake katika sura ya 2:1.
|
|
|
|
# ile itokayo kutoka kwa Yahwe
|
|
|
|
"ile Yahwe aipelekayo"
|
|
|
|
# Maneno ya hako hapo juu ya vinywa vyao
|
|
|
|
"maneno ya upendo yapo katika vinywa vyao"
|
|
|
|
# mioyo yao inafuata udhalimu kwa faida yao
|
|
|
|
"katika mioyo yao wanataka kujipatia udhalimu" au "wanataka kujipatia vitu katika njia ambazo si sahihi."
|
|
|