forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
608 B
Markdown
25 lines
608 B
Markdown
# Farao ataona
|
|
|
|
"Farao ataona maiti zote kutoka mataifa mengine."
|
|
|
|
# na kupata faraja kuhusu watumishi wake
|
|
|
|
Inaonyesha kwamba Farao atafarijiwa kwa sababu maadui wa wafalme wengine wakubwa wamekufa pia.
|
|
|
|
# ambao waliuawa kwa upanga
|
|
|
|
Tazama tafsiri yake katika sura ya 31:17.
|
|
|
|
# hili ndilo tangazo la Yahwe
|
|
|
|
Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:11.
|
|
|
|
# Natamuweka kama utiisho katika nchi ya walio hai
|
|
|
|
"Wakati Farao alipokuwa bado yupo hai, nilimruhusu kuwaogofya watu"
|
|
|
|
# atakuwa amelala chini katikati yao wasiotahiriwa
|
|
|
|
Hapa "lala chini" inarejea kwa mwili wake kuwekwa katika kaburi wakati atakapokufa.
|
|
|