forked from WA-Catalog/sw_tn
382 B
382 B
Maelezo ya Jumla:
Yahwe anaendelea kunena.
utaangamizwa
"nitakuangamiza."
kati yao wasiotahiriwa
"karibu na watu wasiotahiriwa"
wale waliouawa kwa upanga
Tazama tafsiri yake katika sura ya 32:24.
Edomu yuko huko na wafalme na viongozi wake wote
"Edomu yupo katika Sheoli pamoja na wafalme na viongozi wake wote."
Walikuwa na nguvu
"Walikuwa na nguvu nyingi"