forked from WA-Catalog/sw_tn
37 lines
796 B
Markdown
37 lines
796 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla:
|
|
|
|
fumbo la Yahwe kuhusu mkangazi linaendelea.
|
|
|
|
# Ndege wote wa angani
|
|
|
|
"Ndege wote warukao angani"
|
|
|
|
# wakapumzika juu ya shina lake
|
|
|
|
"wakaishi juu ya mkangazi uliosalia"
|
|
|
|
# shina
|
|
|
|
ni sehemu nene sana ya mti ambao hutoka aridhini na kuzishikilia sehemu nyingine za mtu.
|
|
|
|
# wanyama wa shambani atakuja kwenye matawi yake
|
|
|
|
"wanyama pori waliishi katika matawi ya mkangazi"
|
|
|
|
# mwagilia maji
|
|
|
|
"miti ipatayo maji mengi"
|
|
|
|
# hakuna mti mwingine utakayomea karibu na maji itakayofikia kwenye huo urefu
|
|
|
|
"na hakuna miti mingine ambayo itapata maji mengi itarefuka huo urefu ttena"
|
|
|
|
# chini kabisa hata kwenye nchi
|
|
|
|
"na nimeufanya ili waende chini ya aridhi."
|
|
|
|
# katikati ya watu wa mwanadamu aliyeenda chini hata kwenye shimo
|
|
|
|
"kuwa na hao watu waliokufa na kwenda chini kwenye kaburi"
|
|
|