forked from WA-Catalog/sw_tn
387 B
387 B
Maelezo ya Jumla:
Yahwe anaendelea kunena na Ezekieli kuhusu adhabu ya watu wa Israeli.
Tazama!
Neno "Tazazama!" hapa linatutahadharisha kuwa makini kwa habari inayofuata.
salia kwake ... fanya juu yake
Neno "yeye" linarejea kwa Yerusalemu.
njia zao na matendo yao
Maneno haya yote yanarejea kwa kile watu wa Israeli walichokifanya. "vile waishivyo" au "mambo wafanyayo"