forked from WA-Catalog/sw_tn
326 B
326 B
lango la kuingia la nyumba ya Yahwe lililokuwa upande waa kaskazini
Hili lilikuwa lango la nje kaskazini sio kama lili la katika 8:3
tazama!
Neno "tazama" hapa linaonyesha kwamba Ezekieli alishangazwa kwa kile alichokiona.
wakimlilia Tamuzi
"kuhuzunika kwa sababu kwa sababu mungu wa uongo Tamuzi alikuwa amekufa.