forked from WA-Catalog/sw_tn
567 B
567 B
Maelezo ya Jumla:
Haya ni maneno ya Yahwe kuhusu Israeli.
nitawapatia hivyo vitu kwenye mikono ya wageni
Neno "mkono" umetumika unarejelea mamlaka. "nitazitoa hizo sanamu kwenye mamlaka ya watu wasio wajua" au "nitazitoa hizo sanamu kwa watu wasio wajua"
mateka
viyu vilivyopotea au kuchukuliwa kwa nguvu
watawanajisi
Wageni na watu waovu watazinajisi sanamu ambazo watu wa Israeli walizo zitengeneza.
nitaurudisha uso wangu mbali
"sitakuwa makini" au "sitatazama"
mahali pangu pa siri
"mahali nipapendapo" Hii inarejelea kwa hekalu la Mungu.