forked from WA-Catalog/sw_tn
408 B
408 B
Maelezo ya Jumla
Bazaleli na kundi lake wanaendelea kutengeneza mavazi ya kikuhani.
Kisha wakafanya ... amemwamuru Musa
Kwa 39:27-29 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 28:39 na 28:40 na 28:42
kilemba
Hichi ni kifuniko cha kichwa kinacho valiwa na wanaume kilicho tengenezwa na mistari mirefu ya kitambaa.
ukumbuu
Hichi ni kitambaa kirefu kinacho valiwa mabegani au kufungwa kiunoni.