forked from WA-Catalog/sw_tn
469 B
469 B
Uwepo wangu utaenda
"Uwepo wa Mungu una muwakilisha yeye"
utaenda nawe ... nitakupa
Neno "nawe" lina husu Musa.
nitakupa pumziko
"Nitaacha upumzike"
Au je
"Kama uwepo husipo enda nasi"
itajulikanaje
Hii yaweza elezwa kwa tensi tendaji.
itajulikanaje
Musa alitumia hili swali kusisitiza kwamba kama Mungu hasipo enda nao, hakuna mtu atakaye jua kuwa Musa kapata upendeleo machoni pa Mungu.
Haitakuwa kuwa tu kama
"Haitajulikana tu kuwa kama"