forked from WA-Catalog/sw_tn
423 B
423 B
Mtu ye yote aliyenitenda dhambi ndiye nitakayemfuta katika kitabu changu
Maneno "mtu ye yote" ya wakilisha "hilo jina la mtu"
kitabu changu
Hii ya husu kitabu cha Yahweh Musa alicho zungumzia katika 32:30
Yahweh akawapiga hao watu
Hili pigo la weza kuwa ugonjwa mkali.
alivyoifanya ile ndama, ambayo Aruni aliifanya
Japo kuwa Aruni alifanya ndama, watu walikuwa na hatia kwasababu walimwambia Aruni afanye.