forked from WA-Catalog/sw_tn
360 B
360 B
Mmetenda dhambi kuu
Waliabudu sanamu.
Labda nitafanya upatanisho kwa ajili ya dhambi yenu
Musa aliongea kumshawishi Mungu kuwasamehe watu kana kwamba aliweza fanya upatanisho kwa ajili ya dhambi.
unifute, nakusihi, katika kitabu
Hapa Musa anaongelea jina lake.
kitabu chako ulichoandika
Mungu alicho andika katika kitabu cha weza andikwa wazi.