sw_tn/exo/29/15.md

13 lines
279 B
Markdown

# Pia mtwae kondoo
Kwa hizi dhabihu za kutengwa za makuhani, alikuwa Musa, sio Aruni wala wana wake, aliye hua wanyama.
# katika madhabahu
Tofauti na sadaka ya ng'ombe iliyo chomwa nje ya hema, kondoo allichomwa katika madhabahu ya ndani.
# matumbo yake
"viungo vya ndani"