forked from WA-Catalog/sw_tn
524 B
524 B
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye.
atayachukua majina ya wana wa Israeli katika kile kifuko cha kifuani
Hii ya husu majina ya makabila yaliyo chorwa katika mawe kumi na mbili.
cha kifuani
"katika moyo wa Aruni" au "kifuani mwake"
hizo Urimu na Thumimu ... atachukua hukumu ya
Huu mstari wapili unaeleza hizo Urimu na Thumimu na kusudi lake.
hizo Urimu na Thumimu
Haiko wazi hizi ni nini. Vilikuwa vitu, labda mawe, ambayo makuhani walitumia kufahamu mapenzi ya Mungu.