forked from WA-Catalog/sw_tn
428 B
428 B
Yahweh ni uweza wangu
Maana zinazo wezekana ni 1) "Yahweh ndiye anaye nipa uweza" au 2) "Yahweh ndiye mwenye nguvu anaye ni linda mimi."
na nyimbo
Musa anamuita Yahweh nyimbo yake kwasababu Yahweh ndiye anaye imba kuhusu.
amekuwa wokovu wangu
Musa anamuita Mungu wakovu wake kwasababu Mungu amemuokoa.
Yahweh ni shujaa
Musa anamuita Mungu shujaa kwasababu Mungu kwa nguvu alipigana dhidi ya Wamisri na kushinda.