forked from WA-Catalog/sw_tn
629 B
629 B
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuzungumza na Musa kuhusu kushughulika na Farao na kuwaleta watu Waebrania njee ya Misri.
ukikataa kuwaruhusu waende, kama utaendelea kuwa bakiza nyuma
Hii mistari miwili ina maana moja. Watamsisitiza Farao nini kitakacho watokea Farao akifanya hivi.
basi mkono wa Yahweh utakuwa kinyume dhidi
Neno "mkono" hapa wa wakilisha nguvu ya Yahweh ya kuwa dhuru wanyama kwa magonjwa.
ya mifugo yako
Neno "yako" hapa la husu watu wote wa Misri waliyo miliki mifugo.
mifugo ya Israeli
Hapa "Israeli" ya husu watu wa Israeli.
mifugo Misri
Neno "Misri" hapa la husu watu wa Misri