forked from WA-Catalog/sw_tn
308 B
308 B
nilifikiri haya yote katika akili yangu
"Niliwaza kwa kina sana kuhusu haya yote"
Wote wako katika mikono ya Mungu
Hapa neno "wote" inamaanisha "wenye haki na watu wenye hekima" pamoja na "matendo yao"
mikono ya Mungu
Hapa neno "mikono" linamaanisha nguvu na mamlaka. "chini ya umiliki wa Mungu"