sw_tn/ecc/08/08.md

469 B

Hakuna aliye mtawala wa pumzi yake hata kuizuia pumzi ... hakuna aliye na nguvu juu ya siku yake ya mauti.

Kama vile ambavyo mtu hana uwezo wa kujizuia kupumua, mtu hawezi kuendelea kuishi pale muda wake wa kufa ukifika.

uovu hautawasaidia wale amabao ni watumwa wake

Mwandishi anazungumzia uovu kana kwambani mkuu aliye na watumwa.

nimetia moyo wangu

"Nikusudia" au "Niliamua"

kila aina ya kazi ambayo inafanywa

"kila aina ya kazi ambayo watu hufanya"