forked from WA-Catalog/sw_tn
631 B
631 B
akizaa watoto mia moja
"akizaa watoto 100"
kuishi miaka mingi, ili kwamba siku za miaka yake ni nyingi
Misemo hii miwili inamaanisha kitu kimoja na imeunganishwa kuleta msisitizo.
moyo wake hautosheki kwa mema
"haridhika na vitu vizuri"
hazikwi kwa heshima
Maana zinazowezekana ni 1)"hakuna atakayemzika" au 2) "hakuna atakayemzika vizuri"
Hata mtoto huyo amezaliwa bila faida
"mtoto wa hivyo amezaliwa bure"
anapita katika giza
Hapa neno "giza" linaweza kumaanisha kati ya dunia ya wafu au kitu ambacho ni kigumu kuelewa. "anakufa bila kuelewa"
jina lake linabaki limefichika
"hakuna ajuaye jina lake"