forked from WA-Catalog/sw_tn
392 B
392 B
mali na utajiri
Maneno haya mawili yana maana moja. Yanamaanisha pesa na vitu ambavyo anaweza kununua kwa pesa.
kupokea sehemu yake na kufurahi katika kazi yake
Hii inaonesha uwezo wa kuridhika na mtu kufurahia kazi yake.
hakumbuki
Ambaye hakumbuki ni mtu ambaye Mungu amempa zawadi.
siku za maisha yake
"vitu vilivyotokea wakati wa maisha yake.
kuhangaika
"kushughulika"