sw_tn/ecc/05/13.md

330 B

mali iliyowekwa akiba na mwenye nayo

"mwenye mali anatunza utajiri"

kwa bahati mbaya

Maana zinazowezekana ni 1) "kupitia bahati mbaya" au 2) "kwa makubaliano mabovu ya kibiashara."

mwana wake ... habakiziwi chochote mikononi mwake

Hapa usemi "mikononi mwake" inamaanisha umiliki. "haachi mali kwa ajili ya mwana wake"