forked from WA-Catalog/sw_tn
330 B
330 B
mali iliyowekwa akiba na mwenye nayo
"mwenye mali anatunza utajiri"
kwa bahati mbaya
Maana zinazowezekana ni 1) "kupitia bahati mbaya" au 2) "kwa makubaliano mabovu ya kibiashara."
mwana wake ... habakiziwi chochote mikononi mwake
Hapa usemi "mikononi mwake" inamaanisha umiliki. "haachi mali kwa ajili ya mwana wake"