forked from WA-Catalog/sw_tn
358 B
358 B
Usingizi wa mfanyakazi ni mtamu
mtu ambaye anafanya kazi nzuri au ya ukweli anaweza kuridhika akijua alifanya kazi nzuri bila kujali malipo.
kama anakula kidogo au sana
"kama anakula chakula kidogo au chakula kingi"
haumuruhusu yeye kulala vizuri
mtu tajiri haridhiki na utajiri wake. Anabaki macho usiku akiwaza pesa zake. "humweka macho usiku"