forked from WA-Catalog/sw_tn
681 B
681 B
Nilitia akili yangu
"Nikusudia" au "Niliamua"
kusoma na kutafuta
Misemo hii miwili inamaanisha kitu kimoja na inasisitiza alisoma kwa bidii.
wana wa watu
"binadamu"
matendo yote ambayo yanafanyika
"kila kitu ambacho watu hufanya"
mvuke
"umande" au "pumzi." Haidumu. "cha muda" au "haina maana." Kile ambacho watu wanafanya ni kama umande kwa sababu hakidumu na hakina maana.
kujaribu kuuchunga upepo
Mwalimu anasema kwamba vitu ambavyo watu hufanya ni kama kujaribu kuushika upepo au kuuzuia upepo kupuliza.
Palipopinda hapawezi kunyoshwa! Kisicho kuwepo hakiwezi kuhesabiwa!
"watu hawawezi kunyosha vitu vilivyopinda! Hawawezi kuhesabu kisichokuwepo!"