forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
367 B
Markdown
13 lines
367 B
Markdown
# Taarifa ya Jumla:
|
|
|
|
Musa anazungumza wimbo wa shairi kwa watu wa Israeli.
|
|
|
|
# Nitakaponoa panga langu lingaaro
|
|
|
|
Hii ina maana Mungu anaandaa kuhukumu na kuadhibu adui zake. "Ninaponoa panga langu ling'aaro" au "Nitakapokuwa tayari kuhukumu adui zangu"
|
|
|
|
# mkono wangu utakapoanza kuleta haki
|
|
|
|
Hapa "mkono" inawakilisha mtu mzima. "nitakapokuwa tayari kuhukumu waovu"
|
|
|