forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
380 B
Markdown
17 lines
380 B
Markdown
# Taarifa ya Jumla:
|
|
|
|
Musa anazungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" na "wako" hapa ni katika umoja.
|
|
|
|
# machoni pa Israeli yote
|
|
|
|
Hii ina maana ya kwamba watu wote wa Israeli walikuwa pale. "katika uwepo wa Waisraeli wote"
|
|
|
|
# Uwe hodari na mwenye ujasiri mwema
|
|
|
|
"uwe hodari na jasiri"
|
|
|
|
# utasababisha wairithi
|
|
|
|
"utawasaidia kuchukua nchi"
|
|
|