forked from WA-Catalog/sw_tn
354 B
354 B
Mambo ya siri ni ya Yahwe Mungu wetu pekee
"Baadhi ya mambo Yahwe Mungu wetu hajayafunua, na ni yeye pekee anayajua"
yaliyofichuliwa
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "ambayo ameyafunua"
tufanye maneno yote ya sheria hii
Maneno "maneno" ni lugha nyingine kwa "amri". "tunaweza kufanya kila kitu ambacho sheria hii inatuamuru kufanya"