forked from WA-Catalog/sw_tn
315 B
315 B
Ni kwa sababu walitelekeza agano la Yahwe, Mungu wa mababu zao
Hili ni jibu la "Kwa nini Yahwe alifanya hivi katika nchi hii?" 29:22. "Yahwe amefanya hivi katika nchi kwa sababu Waisraeli hawakufuata ahadi na sheria za agano lake"
kutumikia miungu mingine na kuzisujudu
"walitii miungu mingine na kuiabudu"