forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
661 B
Markdown
25 lines
661 B
Markdown
# Habari ya jumla
|
|
|
|
Musa anazungumza na Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa yako kwenye umoja
|
|
|
|
# majipu ya Misri
|
|
|
|
"ugonjwa ule ule wa ngozi ambao niliwalaani Wamisri"
|
|
|
|
# majipu...vidonda , kiseyeye
|
|
|
|
Haya ni aina ya magonjwa ya ngozi
|
|
|
|
# ambazo hautapona
|
|
|
|
Hii inaweza kusemwa kwa mfumo kazi. "ambazo hakuna mmoja ataweza kuwaponya"
|
|
|
|
# Utapapasa papasa mchana kama kipofu apapasavyo gizani
|
|
|
|
Waisraeli watakuwa na maisha magumu hata wakati kila mmoja anafurahia maisha. "watakuwa kama watu vipofu ambao upapasa gizani hata wakati wa mchana"
|
|
|
|
# daima utakandamizwa na kuporwa
|
|
|
|
"watu wa nguvu sana daima watawakandamiza na kuwapora"
|
|
|