forked from WA-Catalog/sw_tn
582 B
582 B
Habari ya jumla
Musa anazungumza na Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa viko kwenye umoja.
Yahwe atakusababishia upigwe mbele ya maadu zako
Hii inaweza kusemwa kwa mfumo kazi. "Yahwe atasababisha maadui zako kukupiga wewe chini"
utakimbia mbele zao kwa njia saba
Hii ina maanisha Waisraeli wataogopa na hofu na kukimbia kutoka kwa maadui zao.
njia saba
"kwa pande nyingi tofauti"
Utapelekwa huku na kule miongoni mwa falme
Hii inaweza kusemwa kwa mfumo kazi. "Watu wa mataifa mengine watawaondoa toka tafaifa moja kwa jingine"