forked from WA-Catalog/sw_tn
582 B
582 B
Habari ya jumla
Musa azungumza na Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa viko kwenye umoja
magonjwa ya kuambukiza, kwa homa, kwa uvimbe
Haya yote urejea kwa magonhwa ambayo husababisha watu kuwa wadhaifu na kufa. "magonjwa na kuwaka homa ambayo itawafanya kuwa dhaifu"
kwa kiangazi
"kwa upungufu wa mvua"
ukungu
ukungu ambao ukuwa kwenye mazao na kuyasababisha kuoza
Hivi vitakufukuza
Musa anazungumza kwa mambo mabaya ambayo yangeweza kutokea kwa Waisraeli kama walikuwa watu au wanyama ambayo wangewakimbiza baada ya Waisraeli.