forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
827 B
Markdown
29 lines
827 B
Markdown
# Taarifa ya Jumla:
|
|
|
|
Musa anazungumza na Waisraeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "wako" na "yako" hapa ni katika umoja.
|
|
|
|
# katika mwaka wa tatu
|
|
|
|
Hapa "tatu" ni mpangilio wa nambari ya tatu. Kila miaka mitatu watu wa Israeli walitoa moja ya kumi ya mavuno kwa maskini.
|
|
|
|
# yatima
|
|
|
|
Hawa ni watoto ambao wazazi wao wote wamefariki na hawana jamaa wa kuwatunza.
|
|
|
|
# mjane
|
|
|
|
Hii ina maana mwanamke ambaye mume wake amefariki na hana watoto wa kumtunza sasa akiwa mzee.
|
|
|
|
# kula ndani ya malango yenu ya mji na kujazilishwa
|
|
|
|
Hapa "malango" ina maana ya miji au mji. "ili kwamba wale wanaoishi ndani ya miji yenu wawe na chakula cha kutosha kwa kula"
|
|
|
|
# Nimetoa kutoka
|
|
|
|
Haya ni maneno ya kwanza ya kauli nyingine ambayo Muisraeli alitakiwa kusema.
|
|
|
|
# wala sijazisahau.
|
|
|
|
Hii ina maana ya kwamba ametii amri zote za Mungu.
|
|
|