forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
445 B
Markdown
13 lines
445 B
Markdown
# Taarifa ya Jumla:
|
|
|
|
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "lako" hapa ni katika umoja.
|
|
|
|
# kutoka mikononi mwa yule aliyempiga
|
|
|
|
Hapa "mkono" una maana ya nguvu au utawala. "kwa hiyo yule aliyempiga hatampiga tena" au "kutoka kwa mwanamume aliyempiga"
|
|
|
|
# jicho lako halipaswi kuwa na huruma
|
|
|
|
Hapa "jicho" lina maana ya mtu mzima. "hautakiwi kumhurumia" au "hautakiwi kuonyesha huruma kwake"
|
|
|