forked from WA-Catalog/sw_tn
428 B
428 B
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
Iwapo mwanamume mwenye hatia anastahili kupigwa
Hii inaweza kuwekwa katika hali ya kutenda. "Kama muamuzi ataamuru wampige mtu mwenye hatia"
na kupigwa mbele zake
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "na atawatazama wakimpiga"
kwa idadi iliyoamriwa kulingana na kosa lake
"idadi ya namba aliyoamuru kwa sababu ya matendo mabaya aliyoyafanya"