forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
615 B
Markdown
21 lines
615 B
Markdown
# msichana aliyechumbiwa
|
|
|
|
Hii ina maana msichana ambaye wazazi wamekubali aolewe na mwanamume fulani, lakini msichana bado hajaolewa.
|
|
|
|
# basi mwanamume pekee aliyelala naye ndiye lazima afe
|
|
|
|
"kisha unapaswa kumuua mwanamume tu ambaye alilala naye"
|
|
|
|
# hakuna dhambi inayostahili kifo kwake msichana
|
|
|
|
"hautakiwi kumuadhibu kwa kumuua kwa kile alichofanya"
|
|
|
|
# Kwa maana suala hili ni kama mwanamume amshambuliapo jirani yake na kumuua
|
|
|
|
"Kwa kwa sababu suala hili ni kama suala la mtu kumshambulia mtu mwingine na kumuua"
|
|
|
|
# Kwa maana alimkuta shambani
|
|
|
|
"Kwa sababu mwanamume alimkuta msichana akifanya kazi shambani"
|
|
|