forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
659 B
Markdown
25 lines
659 B
Markdown
# Habari ya jumla
|
|
|
|
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
|
|
|
|
# hesabu wiki saba
|
|
|
|
"hesabu wiki 7"
|
|
|
|
# tangu wakati unapoanza kuweka sungura kwenye nafaka zilizosimama.
|
|
|
|
Haya maneno "kuweka mundu kwenye nafaka" ni njia ya kurejea mwanzo wa muda wa kuvuna.
|
|
|
|
# mundu
|
|
|
|
ni kifaa kilicho na wembe iliyopigwa kwa kukata nyasi, nafaka, na mizabibu.
|
|
|
|
# pamoja na mchango wa sadaka ya kujitolea kutoka kwa mkono wako ambao utakupa
|
|
|
|
Hapa "mkono" uwakilisha mtu mzima.
|
|
|
|
# kulingana na Yahwe Mungu wako amekubariki
|
|
|
|
"kulingana na mavuno ambayo Yahwe Mungu amekupa" Hii inamaanisha kwamba watu itatokana na kiasi ambacho wanatoa juu ya kiasi gani walichovuna mwaka huo.
|
|
|