forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
604 B
Markdown
21 lines
604 B
Markdown
# mahali ambapo Yahwe Mungu wako atachagua katika kabila zako zote ili kuweka jina lake
|
|
|
|
Hapa "jina lake" urejea kwa Mungu mwenyewe. Yahwe atachagua eneo moja ambako atakaa na watu watakuja kumwabudu huko.
|
|
|
|
# ni huko mtaende
|
|
|
|
Wataenda kumwabudu ambako Mungu ameamua.
|
|
|
|
# sadaka iliyotolewa kwa mkono wako
|
|
|
|
Hapa "mkono" uwakilisha mtu mzima.
|
|
|
|
# "sadaka zako kwa ajili ya viapo, sadaka zako za uhuru
|
|
|
|
"sadaka zako hutimiza kiapo, sadaka zako za hiari. Hizi ni aina za sadaka.
|
|
|
|
# mzaliwa wa kwanza wa ng'ombe zako na kondoo
|
|
|
|
Mungu anahitaji kwamba watu wampe kila mwanaume wa kwanza mazaliwa wa mifugo yao.
|
|
|