forked from WA-Catalog/sw_tn
396 B
396 B
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuzungumza na wanaisraeli kama wako mtu mmoja.
unyofu wa moyo wako
"kwa sababu daima unafikiri na kutamani vitu sahihi"
ili kwamba aweze kufanya kuwa kweli neno
Hapa ni maneno "neno" urejea kwa kile Mungu ameahidi."ili kwamba aweze kutimiza ahadi"
babu zenu, Abrahamu, Isaka, na Yakobo
Abrahamu, Isaka, na Yakobo ni "mababu" ambao Musa anazungumza