forked from WA-Catalog/sw_tn
403 B
403 B
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuwambia watu wa Israeli maneno ya Yahwe kama wanaisraeli walikuwa mtu mmoja.
Ninakuamuru wewe
Musa anazungumza amri za Mungu kwa watu wa Israeli
itakuwa katika moyo wako
Hii ni nahau. "unapaswa daima kukumbuka"
utafundisha kwa bidii... utaongea
"Ninakuamuru wewe kufundisha kwa bidii...Ninakuamuru wewe kuongea." Msomaji anapaswa kuelewa haya kama amri.