forked from WA-Catalog/sw_tn
418 B
418 B
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuwakumbusha watu kile Yahwe amewaamuru. Maneno "uta" na "hauta" amriwa. Anazungumza na wanaisraeli kama vile walikuwa mtu mmoja.
Hamtakuwa na miungu mingine mbele zangu
"Haupaswi kuabudu miungu yoyote lakini mimi"
hiyo iko chini ya dunia, au hiyo iko chini ya maji
Hii inaweza kufanywa kwa uwazi. "kwamba iko katika dunia chini ya miguu, au iko kwenye mahi chini ya dunia"