forked from WA-Catalog/sw_tn
506 B
506 B
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuwakumbusha watu wa Israel kile kizazi cha awali cha Israeli kilichofanya.
Yahwe alikuwa na hasira nami kwa sababu yako
Hii urejea kwa wakati Musa aliposhindwa kutii kile Yahwe alichokuwa amemwambia kufanya kwa sababu Musa alikuwa na hasira na watu wa Israel.
Nun
Hili ni jina la baba yake Yoshua
yupi asimamae mbele yako
Kwanini Yoshua anasimama mbele ya Musa kunaweza kutajwa kwa ufasaha. "yupi anasimama mbele yako kama mtumishi" au "yupi anayekusaidia"