forked from WA-Catalog/sw_tn
593 B
593 B
Taarifa ya jumla
Musa aliendelea kuwakumbusha watu wa Israeli ambayo Yahwe alivyosema nao.
Niliongea nanyi kwa watkia huo
Hapa "Ni" urejea kwa Musa. Maneno "kwa wakati huo" urejea kwa wakati wanaisrael walipokuwa Horebu, ambayo ni sawa kama mlima Sinai.
Siwezi kuwabeba mimi peke yangu
Hapa "kuwabeba" umaanisha "kuwaongoza ninyi" au kuwatawala ninyi." "Hii ni zaidi kwangu kuwaongoza mwenyewe"
kama umati wa nyota za mbinguni
Hii ni kutia chumvi ambako kunamaanisha Mungu ameongeza idadi ya wanaisraeli
mara elfu
Maneno "mara elfu" ni fumbo la "nyingi sana"
elfu
1000