forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
610 B
Markdown
29 lines
610 B
Markdown
# Ilitokea katika mwaka wa arobaini, katika mwezi wa kumi na moja, siku ya kwanza ya mwezi, ambayo Musa alizungumza.
|
|
|
|
"Walikuwa wameishi jangwani miaka 40, miezi 11, na 1 siku, wakati Musa alipozungumza"
|
|
|
|
# Arobaini
|
|
|
|
40th
|
|
|
|
# katika mwezi wa kumi na moja, katika siku ya kwanza ya mwezi.
|
|
|
|
Huu ni mwezi wa kumi na moja wa Kiabrania. Siku ya kwanza iko karibu katikati mwa mwezi Januari kwa kalenda za Magharibi.
|
|
|
|
# kumi na moja
|
|
|
|
11th
|
|
|
|
# Yahwe alikuwa amevamia
|
|
|
|
"Yahwe alikuwa amewawezesha wanaisraeli kushinda"
|
|
|
|
# Sihon...Og
|
|
|
|
Haya ni majina ya wafalme.
|
|
|
|
# Heshbon... Ashtarothi ya Edrei
|
|
|
|
Haya ni majina ya miji
|
|
|