forked from WA-Catalog/sw_tn
1002 B
1002 B
Maelezo ya jumla
Malaika anaendelea kuongea na Danieli.
Watu wengi watakuwa wametakaswa, wameoshwa, na kusafishwa
Yahweh anafanya kazi ya kutakasa. Maneno haya matatu kimsingi yanamaanisha kitu kile kile.
kusafishwa
kusafishwa kwa kuondoa kila kitu kisichotakiwa sehemu ile.
lakini waovu wataenenda katika uovu
Watu waovu watateda yaliyo maovu au mambo ya dhambi.
Hakuna kati ya waovu atakayefahamu
Watu waovu hawawezi kufahamu mambo ya kiroho.
Lakini wenye hekima watafahamu
Hii inarejelea watu wale wenye hekima katika kumtii Yahweh watafahamu.
sadaka ya kawaida ya kuteketezwa ...imeondolewa
Mfalme wa Kaskazini ndiye atakayekomesha sadaka katika hekalu.
chukizo la uharibifu liliosababisha ukiwa
Hii inarejelea sana ambayo italifanya hekalu liwe ukiwa, na hiyo ndiyo itamsababisha Mungu aliache hekalu katika hali ya ukiwa.
siku zipatazo 1,290
Mahali hapa "siku" inarejelea kipindi cha muda. Mara nyingine hueleweka kama siku, ingawa pia ina maana ya miaka.