sw_tn/dan/12/10.md

1002 B

Maelezo ya jumla

Malaika anaendelea kuongea na Danieli.

Watu wengi watakuwa wametakaswa, wameoshwa, na kusafishwa

Yahweh anafanya kazi ya kutakasa. Maneno haya matatu kimsingi yanamaanisha kitu kile kile.

kusafishwa

kusafishwa kwa kuondoa kila kitu kisichotakiwa sehemu ile.

lakini waovu wataenenda katika uovu

Watu waovu watateda yaliyo maovu au mambo ya dhambi.

Hakuna kati ya waovu atakayefahamu

Watu waovu hawawezi kufahamu mambo ya kiroho.

Lakini wenye hekima watafahamu

Hii inarejelea watu wale wenye hekima katika kumtii Yahweh watafahamu.

sadaka ya kawaida ya kuteketezwa ...imeondolewa

Mfalme wa Kaskazini ndiye atakayekomesha sadaka katika hekalu.

chukizo la uharibifu liliosababisha ukiwa

Hii inarejelea sana ambayo italifanya hekalu liwe ukiwa, na hiyo ndiyo itamsababisha Mungu aliache hekalu katika hali ya ukiwa.

siku zipatazo 1,290

Mahali hapa "siku" inarejelea kipindi cha muda. Mara nyingine hueleweka kama siku, ingawa pia ina maana ya miaka.