sw_tn/dan/12/08.md

492 B

Mambo haya yote

Katika muda ule ambao malaika alikuwa akiongea na Danieli, hakuna hata tukio hata moja lilikuwa limetokea. Hii kwa uhalisia inarejelea matukio katika 12:1, na huenda yalijumuisha matukio yaliyo katika maono kutoka sura ya 11.

maneno yamefungwa na kutiwa chapa

Maono ambayo Danieli alikuwa amepewa hayakupaswa kufafanuliwa kana kwamba kitabu kilikuwa kimefungwa na hakuna mtu yeyote awezaye kukifungua.

wakati wa mwisho.

"siku za mwisho: au "mwisho wa ulimwenguni"