forked from WA-Catalog/sw_tn
634 B
634 B
Maelezo ya jumla
Malaika anaendelea kumwagiza Danieli. Alianza katika 10:20
Mikaeli, jemedari mkuu
Mikaeli ni malaika mkuu. Mahali hapa pia amepewa jina jingine "jemedari mkuu"
watu wako wataokolewa
Mungu alifanya kitendo cha kuwaokoa watu. " Mungu ataokoa watu wako"
yeyote ambaye jina lake litapatikana katika kitabu
Mungu hufanya kazi ya kuandika katika kitabu. "wale ambao majina yao Mungu ameyaandika katika kitabu"
watu wako wataokolewa
Hii inarejelea tukio kubwa la kiroho ambapo watu wa Mungu watapewa maisha mapya, wote walio hai na walio kufa, na watu waovu watakatiliwa mbali katika hukumu ya milele.