forked from WA-Catalog/sw_tn
415 B
415 B
ulipoiweka akili yako kutaka kufahamu
"ulihitaji kufahamu maono"
maneno yako yalisikiwa
Kauli hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Mungu aliyasikia maneno yako"
Mwana wa mfalme
hii inarejelea roho ambayo ina mamlaka juu ya taifa la mtu.
mfalme wa Uajemi
Hii huenda inarejelea wafalme mbalimbali waliotawala mataifa mbalimbali katika dola ya Uajemi, na wale waliopaswa kumtii mfalme wa Uajemi.